Bongo Movie

Chuchu Hans: Sifikirii kuja kuachana na Ray

Mpenzi wa muigizaji wa filamu, Vincent Kigosi aka Ray, Chuchu Hans amekanusha uvumi kuwa amepigwa chini na Ray na kudai kuwa hategemei kama watakuja kuachana.

Ray akiwa na Chuchu Hans

Chuchu amekiambia kipindi cha Take One cha Clouds TV kuwa wameamua kubadilisha aina ya maisha yao kwa kutopiga picha hovyo na kuweka mitandaoni.

“Sifikirii hicho kitu kuachana na Ray kiukweli sifikirii na kila kitu kinaenda kwa riziki na kama riziki yangu itakuwa imeisha basi nitaikubali hali. Lakini sifikirii hicho kitu kabisa,” alisema Chuchu ambaye naye pia ni muigizaji wa filamu.

Related Articles

Leave a Reply

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents