Burudani
Chege na Temba wafunika uzinduzi Twanga
Kundi la muziki la Tmk Wanaume Family linaoongozwa na Chege na Temba jana waliweza, kufanya makubwa kwa kuwavuta watu waliokuwa mbali ambao muda mwingi walikuwa wakisita kusogea, katika uzinduzi wa albamu ya 11 ya Twanaga Pepeta Dunia Daraja.
Mashabiki ambao muda mwingi walikuwa mbali na jukwaa, lakini walipopanda wasanii hao wawili, basi watu wote walikimbizana kuwahi nafasi jambo ambalo linaonyesha kukubalika kwa wasanii hao. pia wapo wengine walioshindwa kuvumilia na kujikuta wakipanda jukwaani na kudensi pamoja. Chini ni picha za matukio ya wasanii mbalimbali..