Burudani
Chege na Temba kumtimkia UK
Wanamuziki wawili kutoka kundi la Tmk Wanaume famili, Chege na Temba wanatarajia kwenda UK kwaajili ya kufanya matamasha kipindi hiki cha msimu wa sikuu ya Idd. Wanamuziki hao wanatarajia kukamua kwenye miji takribani mine, Ikiwa London,Barnigham,Milliton Kings, Laker City.
Wanamuziki hao tayari wameshaanza kukamilisha baadhi ya vitu, na wanatarajia mnamo tarehe 25 mwezi huu, kuondoka kwaajili ya shoo hizo