Tragedy
Picha: Ajali nyingine mbaya ya basi yaua watu wanne, Gairo
Basi la kampuni ya Airbus lililokuwa likitoka Dar es Salaam leo kuelekea Tabora limepinduka katika maeneo ya Kiegeya, Gairo mkoani Morogoro na kusababisha ajali ya watu wanne na kujeruhi watu wengine 19.
Shughuli za uokozi zikiendelea muda mfupi uliopita
Basi hilo lilitumbukia kwenye daraja kufuatia ajali hiyo.
Chanzo cha ajali hiyo hakijajulikana mara moja
Baadhi ya mili ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali hiyo
Ajali hiyo imetokea siku chache tu baada ya ajali nyingine ya mabasi mawili iliyotokea Musoma na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 35.
PICHA: AJALI ILIYOHUSISHA MABASI 2 YASABABISHA VIFO VYA ZAIDI YA WATU 35 MUSOMA
TUNAOMBA RADHI KWA PICHA HIZO