Bongo Movie

Bongo Bling Blingers: Wasanii muziki wa Tanzania wanaopiga pamba kali zaidi (wanaume)

cover

Desturi ya kuvaa nguo kali na za gharama muda wote haitegemei uwezo peke yake bali moyo na utayari wa mtu kuwa muumini wa uvaaji pamba kali. Kuna mastaa kibao nchini ambao licha ya kuwa na uwezo mzuri wa kifedha wameendelea kuvaa kawaida tu (si jambo baya sababu ni uamuzi binafsi).

Lakini wapo wasanii ambao wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kujiweka katika utanashati wa hali ya juu kwa kuvaa nguo kali na za gharama. Japokuwa wanaweza kuwepo wengine, hawa ni miongoni mwa wasanii wa Tanzania wanaopiga pamba kali zaidi kwa mujibu wa Bongo5.

1. Jux

jux 2

jux 3

jux

2. Hemedy

BA_9s2PCMAAlpUW.jpg large

BA3ZhtYCUAAV9hJ.jpg large

hemed

3. Cyril

cyril 2

cyril

cyrill 3

4. Bob Junior

bob 1

BOB JUNIOR

bob6

5. Gelly wa Rhymes

gelly 2

gelly 3

gelly

6. Izzo B

izzo b 2

izzo b 3

izzo b

7. Diamond

diamond 3

IMG_0030

IMG_0155

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents