Habari
Bodi ya Mikopo: Tunaanza kukata 15% ya mshahara kwa wadaiwa kuanzia mwezi huu
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu imearifu kutakuwa na ongezeko la makato katika mishahara ya watumishi waliofaidika na mikopo ya elimu hiyo kutoka asilimia 8 mpaka asilimia 15.
Hii taarifa yake:
Hivi karibuni bodi hiyo ilitangaza kuwepo msako wa wadaiwa sugu sambamba na kubandika picha na majina ya wadaiwa hao.
BY: Emmy Mwaipopo