Burudani

Black Rhyno kumshtaki Nay wa Mitego kisa beat? Sikia alichokisema

Kwenye playlist ya ngoma kali zilizotoka mwaka jana mwishoni, haziwezi kukosa sijiwezi ya Nay wa Mitego na Kama Movie ya Black Rhyno aliyompa shavu Jux.

Ngoma hizi zimezua utata kwani ni ngoma ambazo zina beat moja na zote zimetengenezwa na producer Mr T Touch.

https://www.youtube.com/watch?v=3LZo7Awn3no

Nimepiga story na Black Rhyno kwenye show yangu ya Supermega kupitia Kings Fm kutaka kufahamu kama atamshtaki Nay kwani ana haki miliki ya mdundo huo.

https://www.youtube.com/watch?v=4gXw-E0wPx4

“Kuamua kumshtaki ni maamuzi yangu..mimi bado sijaamua kumshtaki,ila nikiamua kumshtaki basi nitamshtaki na itajulikana watu wote mtajua kama nimemshtaki,”amesema Black Rhyno.

By Prince Ramalove (Kings FM)

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents