Habari

Bill Gates azidi kuongoza kwa utajiri duniani

Bill Gates hakamatiki – ameendelea kuongoza orodha ya matajiri duniani. Muanzilishi huyo wa Microsoft ametajwa na jarida la Forbes kuwa na utajiri wa dola bilioni 86 kutoka dola bilioni 75 ambao alikuwa nao mwaka jana.

Forbes imetanganza kuongezeka kwa idadi ya matajiri zaidi katika orodha hiyo ambao wamefikia 2043 huku Marekani katika orodha hiyo imeingiza matajiri, China inashika nafasi ya pili ikiwa na mabilionea 319 na Ujerumani ipo katika nafasi ya tatu ikiwa na mabilionea 114.

Hii ni orodha ya matajiri kumi zaidi duniani:

1.Bill Gates – $86bn
2.Warren Buffett – $75.6bn
3.Jeff Bezos – $72.8bn
4.Amancio Ortega – $71.3bn
5.Mark Zuckerberg – $56bn
6.Carlos Slim – $54.5bn
7.Larry Ellison – $52.2bn
8.Charles Koch – $48.3bn
9.David Koch – $48.3bn
10.Michael Bloomberg – $47.5bn

Bonyeza hapa kuangalia wengine zaidi

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents