Big Brother Africa 2014: Washiriki wa Kenya, Uganda na Zimbabwe watajwa
Majina ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa yameanza kutangazwa leo September 18, 2014 kama ilivyofahamika jana kuwa M-Net na Endemol SA watakuwa wakitangaza majina matatu kila siku mpaka kufika siku ya uzinduzi wa Hot Shots October 5, 2014.
Alusa-Kenya (kushoto), Butterphly-Zimbabwe (katikati), Ellah-Uganda (kulia)
Majina yaliyotangazwa leo ni ya mwakilishi wa Kenya aitwaye Mr Melvin Alusa, mwakilishi wa Uganda aitwaye Ellah ambaye ni Miss Uganda, pamoja na mwakilishi wa Zimbabwe aitwaye Butterphly Phunk ambaye ni Dj wa kituo cha Power Fm.
‘Ellah’ Stella Nantumbwe ni Miss Uganda wa sasa
Mr Melvin Alusa (Kenya)
Butterphly Phunk ni Dj wa Power Fm ya Zimbabwe
Ingia hapa kumfahamu Alusa wa Kenya
Ingia hapa kumfahamu Ellah wa Uganda
Ingia hapa kumfahamu Butterphly wa Zimbabwe