Habari

Big Brother Africa 2014: Washiriki wa Kenya, Uganda na Zimbabwe watajwa

Majina ya washiriki wa shindano la Big Brother Africa yameanza kutangazwa leo September 18, 2014 kama ilivyofahamika jana kuwa M-Net na Endemol SA watakuwa wakitangaza majina matatu kila siku mpaka kufika siku ya uzinduzi wa Hot Shots October 5, 2014.

hotshots
Alusa-Kenya (kushoto), Butterphly-Zimbabwe (katikati), Ellah-Uganda (kulia)

Majina yaliyotangazwa leo ni ya mwakilishi wa Kenya aitwaye Mr Melvin Alusa, mwakilishi wa Uganda aitwaye Ellah ambaye ni Miss Uganda, pamoja na mwakilishi wa Zimbabwe aitwaye Butterphly Phunk ambaye ni Dj wa kituo cha Power Fm.

Ellah
‘Ellah’ Stella Nantumbwe ni Miss Uganda wa sasa

Alusa
Mr Melvin Alusa (Kenya)

Butterphly
Butterphly Phunk ni Dj wa Power Fm ya Zimbabwe

Ingia hapa kumfahamu Alusa wa Kenya

Ingia hapa kumfahamu Ellah wa Uganda

Ingia hapa kumfahamu Butterphly wa Zimbabwe

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents