Habari
Bibi Bomba: Asha Boko ashiriki usaili wa Tanga, Dodoma wapatwa mwakilishi (Picha)
Msako wa kuwatafuta wawakilishi wa mikoa mitano (Mwanza, Dodoma, Tanga, Mtwara na Morogoro) wa shindano la Bibi Bomba msimu wa tatu umeendelea wiki hii. Tayari mwakilishi wa Dodoma amepatikana aitwaye Mariam Lugaya.
Mariam Lugaya, mwakilishi wa Tanga kwenye Bibi Bomba msimu wa 3
Jana usaili huo ulifanyika mkoani Tanga ambapo miongoni mwa watu waliojitokeza kwenye msako huo ni pamoja na muigizaji na mchekeshaji, Asha Boko.
Asha Boko akiwa kwenye usaili