BurudaniDiamond Platnumz
BBC Radio 1Xtra yamtaja Diamond miongoni mwa wasanii wa Afrika wa kuwaangalia 2014
DJ wa kituo cha radio maarufu kwa burudani nchini Uingereza kilicho chini ya shirika la habari la Uingereza, BBC cha BBC Radio 1Xtra, DJ Edu, amemtaja Diamond Platnumz, miongoni mwa wasanii watano wenye dalili za kufanya vizuri barani Afrika mwaka 2014.
DJ Edu
Wasanii wengine waliotabiriwa kufanya vizuri Afrika ni pamoja na Kaysha,(msanii wa DRC aishie Ufaransa), Wyre wa Kenya, Radio na Weasel wa Uganda na King James wa Rwanda.
Bonyeza hapa kumsikia DJ Edu akiwaelezea.
Kaysha
Radio and Weasel
http://youtu.be/Nq8OwO_241s
King James
http://youtu.be/f3j238jNgT8
Wyre