BurudaniDiamond Platnumz

BBC Radio 1Xtra yamtaja Diamond miongoni mwa wasanii wa Afrika wa kuwaangalia 2014

DJ wa kituo cha radio maarufu kwa burudani nchini Uingereza kilicho chini ya shirika la habari la Uingereza, BBC cha BBC Radio 1Xtra, DJ Edu, amemtaja Diamond Platnumz, miongoni mwa wasanii watano wenye dalili za kufanya vizuri barani Afrika mwaka 2014.

BBC Radio 1Xtra Presenters
DJ Edu

Wasanii wengine waliotabiriwa kufanya vizuri Afrika ni pamoja na Kaysha,(msanii wa DRC aishie Ufaransa), Wyre wa Kenya, Radio na Weasel wa Uganda na King James wa Rwanda.

Bonyeza hapa kumsikia DJ Edu akiwaelezea.

Kaysha

Radio and Weasel

http://youtu.be/Nq8OwO_241s

King James

http://youtu.be/f3j238jNgT8

Wyre

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents