Habari

BBA: Mtanzania na Mkenya wafungasha virago

Mwakilishi wa kike wa Tanzania, Laveda ameondolewa kwenye mashindano ya Big Brother Africa Jumapili hii.

image

Laveda amekuwa mshiriki wa sita wa kike kuondolewa kwenye mashindano hayo. Mshiriki mwingine aliyetoka leo ni Alusa wa Kenya ambaye amekuwa mwanaume wa kwanza kutoka. Kenya haina tena mwakilishi kwenye shindano hilo.

image

Tanzania imebakiza mshiriki mmoja, Idris Sultan.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents