Burudani
BBA: Idris na Ellah wa Uganda wapeana massage na kulala pamoja (Video)
Baada ya siku ya eviction kupita, washiriki waliosalia kwenye shindano la Big Brother Africa wamerudi kwenye maisha yao ya kawaida ndani ya mjengo. Idris wa Tanzania na Ellah wa Uganda waliamua kuliwazana kwa massage na kulala wakikumbatiana. Watazame.