Burudani

AY na FA kuzindua Nairobi

 

Mwana FA na AY wanatarajia kutua jijini Nairobi Ijumaa ijayo kwa ajili ya kutoa burudani ndani ya tamasha la Safaricom Face-Off.

Kwa mujibu ya manager wao wa Kenya, Maleek Buddy, wakali hao watatumia nafasi hiyo kuzindua collabo yao mpya ‘Usije Mjini’ ambayo tayari inafanya vizuri sana katika chati hapa Bongo.

Kuna uwezekano mkubwa kuwa mwandada Ray C pia atapata nafasi ya kuimba katika tamasha hilo.

Related Articles

Check Also
Close
Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents