Nikki wa pili ala kiapo
Habari
June 21, 2021 - 12:41 pm
Nikki wa pili ala kiapo
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Abubakari Kunenge, amemuapisha Nickson Simon maarufu kama nikki wa Pili kuwa Mkuu wa Wilaya ya…
Changamoto ukusanyaji mdogo wa mapato (+Video)
Habari
June 21, 2021 - 11:44 am
Changamoto ukusanyaji mdogo wa mapato (+Video)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,(TAMISEMI) Mh. Ummy Mwalimu amemuagiza Mkuu wa Mkoa…
Rais Samia awaapisha Wateule
Habari
June 21, 2021 - 11:25 am
Rais Samia awaapisha Wateule
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan,amewaapisha Mkuu wa Mkoa wa Tabora na Katibu Tawala wa Mkoa…
Mashabiki wamvamia Meja Kunta jukwaani (+video)
Burudani
June 19, 2021 - 2:03 pm
Mashabiki wamvamia Meja Kunta jukwaani (+video)
Msanii wa Muziki wa singeli Meja Kunta amevamiwa na mashbiki wakati akiendelea kutumbuiza katika Tamasha la Nandy Festival lililofanyika katika …
Ethiopia iko tayari kwa uchaguzi siku ya Jumatatu
Habari
June 19, 2021 - 12:46 pm
Ethiopia iko tayari kwa uchaguzi siku ya Jumatatu
Ethiopia inajiandaa kwa ajili ya uchaguzi wa bunge unaofanyika Jumatau wiki ijayo, ambapo chama kitakachoshinda kitaunda serikali kwa kutoa Waziri…
Wawili watumbuliwa EPZA
Habari
June 19, 2021 - 12:12 pm
Wawili watumbuliwa EPZA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameeleza Kutoridhishwa na Utendaji kazi wa Mamlaka ya Maeneo Maalum…
Tetesi za usajili ulaya,19/6.2021 Kane, Pogba, Aouar, Ramos, Tierney, Varane, Lingard, Ramsey, Jorginho
Michezo
June 19, 2021 - 11:54 am
Tetesi za usajili ulaya,19/6.2021 Kane, Pogba, Aouar, Ramos, Tierney, Varane, Lingard, Ramsey, Jorginho
Mshambuliaji wa Tottenham na England Harry Kane, 27, amewaeleza wazi wawakilishi wake kwamba atakuwa tayari kuungana tena na Mauricio Pochettino…
NMB yaikabidhi serikali hundi zaidi ya tsh bilioni 21.7
Habari
June 18, 2021 - 9:19 pm
NMB yaikabidhi serikali hundi zaidi ya tsh bilioni 21.7
Benki ya NMB imetoa gawio la Sh21.8 bilioni ikiwa niongezeko la asilimia 43 ya gawio la mwaka jana ambalo lilikuwa…
Harmonize atambulisha App ya kuuza kazi za Wasanii
Burudani
June 18, 2021 - 4:54 pm
Harmonize atambulisha App ya kuuza kazi za Wasanii
Staa wa Bongofleva Harmonize , leo amekutana na Waandishi wa Habari na kuitambulisha App mpya iitwayo Ceek, ambayo itakuwa inahusika…
Tshisekedi jino kwa jino na waasi wa ADF
Habari
June 18, 2021 - 4:39 pm
Tshisekedi jino kwa jino na waasi wa ADF
Rais Félix Tshisekedi amekamilisha ziara yake katika Mkoa wa Kivu ya Kaskazini. Kabla ya kuondoka Beni, Tshisekedi alifanya mazungumzo na…
Rais Samia akutana na mwekezaji wa Singapore
Habari
June 18, 2021 - 4:04 pm
Rais Samia akutana na mwekezaji wa Singapore
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan,leo June 18,2021 amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyekiti wa Makampuni ya…
Mtoto atupwa mtoni
Habari
June 18, 2021 - 2:20 pm
Mtoto atupwa mtoni
Nahodha wa boti moja katika jimbo lililopo eneo la kaskazini mwa jimbo la Uttar Pradesh, amepokea pongezi baada ya kumuokoa…
Zambia yatangza siku 21 za maombolezo
Habari
June 18, 2021 - 1:22 pm
Zambia yatangza siku 21 za maombolezo
Kufuatia kifo cha aliyekua Rais wa kwanza wa Zambia,Kenneth Kaunda kilichotokea juni 17,2021,Rais wa Zambia Edgar Lungu ametangaza siku 21…
OLE SABAYA AFIKISHWA MAHAKAMANI
Habari
June 18, 2021 - 12:28 pm
OLE SABAYA AFIKISHWA MAHAKAMANI
Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai,Mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya na wenzake leo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Arusha…
Miradi ikamilishwe kwa wakati-RC- Makalla
Habari
June 17, 2021 - 6:52 pm
Miradi ikamilishwe kwa wakati-RC- Makalla
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Amos Makalla, amewataka Wakandarasi wanaotekeleza miradi ya Ujenzi wa Barabara za DMDP…