Picha ya mtoto Jake wa Ghana yageuka kuwa meme maarufu duniani, aanza kuchangiwa fedha za kumsomesha
Habari
October 27, 2016 - 11:41 am
Picha ya mtoto Jake wa Ghana yageuka kuwa meme maarufu duniani, aanza kuchangiwa fedha za kumsomesha
Vipi pale ambapo picha yako uliyopigwa ukifurahia kuandika kitu kwenye karatasi inapogeuka kuwa gumzo duniani na meme maarufu zaidi? Imetokea…
New Video: Angel Benard – Kiu Yangu
Burudani
October 27, 2016 - 10:33 am
New Video: Angel Benard – Kiu Yangu
Wimbo mpya wa muimbaji wa nyimbo za injili, Angel Benard ‘Kiu Yangu.’ Video imeongozwa na Einxer.
Video: Dancer maarufu wa Nigeria, Kaffy amtukana Davido kwa kuwafukuza dancers wake
Burudani
October 27, 2016 - 8:00 am
Video: Dancer maarufu wa Nigeria, Kaffy amtukana Davido kwa kuwafukuza dancers wake
Dancer maarufu zaidi nchini Nigeria ambaye amefanya kazi na karibu kila msanii, amemtukana Davido kwenye Instagram kwa madai kuwa aliwafukuza…
New Music: SHiiKANE – Loke
Burudani
October 27, 2016 - 7:30 am
New Music: SHiiKANE – Loke
Following the success of their remix to hit single Tuele, SHiiKANE are set to take the African music scene by…
Sauti: Simulizi ya kusisimua ya kijana aliyezaa na kufunga ndoa na dada yake wa damu
Habari
October 27, 2016 - 7:00 am
Sauti: Simulizi ya kusisimua ya kijana aliyezaa na kufunga ndoa na dada yake wa damu
Kipindi cha Ubaoni cha EFM kimekuwa kikipata mikasa mingi ya maisha ya kusisimua kupitia sehemu yake ya ‘Ripoti.’ Hivi karibuni…
New Music: Redsan – Not Normal
Burudani
October 27, 2016 - 6:54 am
New Music: Redsan – Not Normal
Wimbo mpya kutoka kwa msanii wa dancehall kutoka Kenya, Not Normal. Umetayarishwa na Sappy.
Bifu: Filamu aliyocheza Fid Q ambayo hataki uione
Burudani
October 26, 2016 - 4:00 pm
Bifu: Filamu aliyocheza Fid Q ambayo hataki uione
Kabla ya kupata tobo na kuwa mmoja wa wana hip hop wanaoheshimika zaidi Tanzania, Fid Q aliwahi kufanya mishe mishe…
WCB walimuwahi Shaa (SK Musik) na kumsainisha msanii huyu wa kike
Burudani
October 26, 2016 - 2:51 pm
WCB walimuwahi Shaa (SK Musik) na kumsainisha msanii huyu wa kike
Label ya Shaa, SK Musik, ilizidiwa ujanja na Wasafi Records ya Diamond na kumwahi kumsainisha msanii wa huyu wa kike.…
Emanuel Austin aanzisha label yake, EMA Entertainment (Video)
Burudani
October 26, 2016 - 2:00 pm
Emanuel Austin aanzisha label yake, EMA Entertainment (Video)
Muimbaji na mwalimu wa dance anayeishi nchini Ujerumani, Emanuel Austin, ameanzisha label yake – EMA Entertaiment. Ameiambia Bongo5 kuwa label…
New Music: MD Plantz – Lunch Time
Burudani
October 26, 2016 - 11:50 am
New Music: MD Plantz – Lunch Time
Msanii anayechipukia, MD Plantz ameurudia wimbo uliowahi kufanya vizuri miaka ya nyumba, Lunch Time na kuutengeneza katika mahadhi ya reggae.…
Video: Mboni kuwanyanyua wanawake nchini kwa kongamano la ‘Sauti ya Mwanamke’
Burudani
October 26, 2016 - 8:00 am
Video: Mboni kuwanyanyua wanawake nchini kwa kongamano la ‘Sauti ya Mwanamke’
Katika kuadhimisha miaka mitano tangu kuanza kwa kipindi chake cha runinga, The Mboni Show, Mboni Masimba amekuja na kongamano liitwalo…
Video: Diamond awasili kwenye mjengo wake wa SA, awapa madongo waliosema si wake
Burudani
October 26, 2016 - 5:00 am
Video: Diamond awasili kwenye mjengo wake wa SA, awapa madongo waliosema si wake
Afrika Kusini sasa imekuwa nyumbani kwingine kwa Diamond baada ya kununua nyumba ya kifahari iliyopo jijini Pretoria. Baada ya kutangaza…
Rais Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ingia hapa kumpigia kura
Habari
October 25, 2016 - 4:43 pm
Rais Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year’, ingia hapa kumpigia kura
Rais Dkt John Pombe Magufuli ametajwa kuwania tuzo ya ‘Forbes Africa Person of The Year.’ Anachuana na watu wengine wanne…
Sahara Media Group kupunguza wafanyakazi 100, yakanusha kununuliwa na Nation Media
Habari
October 25, 2016 - 4:26 pm
Sahara Media Group kupunguza wafanyakazi 100, yakanusha kununuliwa na Nation Media
Kampuni kongwe ya habari nchini, Sahara Media Group itapunguza wafanyakazi wake takriban 100. Hiyo ni kwa mujibu wa taarifa iliyoitoa…
EFM yamburuza Paul James mahakamani kwa kuvunja mkataba, inataka ilipwe fidia ya shilingi milioni 200
Burudani
October 25, 2016 - 3:50 pm
EFM yamburuza Paul James mahakamani kwa kuvunja mkataba, inataka ilipwe fidia ya shilingi milioni 200
Mtangazaji wa Clouds FM, Paul James aka PJ ameshtakiwa mahakamani na kituo cha redio cha EFM kwa kuvunja mkataba kinyemela.…