Saudi Arabia imewakamata wanawake 17 raia wa Ufilipino kwa kufanya sherehe za Halloween Octoba 31
Habari
October 31, 2018 - 6:35 pm
Saudi Arabia imewakamata wanawake 17 raia wa Ufilipino kwa kufanya sherehe za Halloween Octoba 31
Polisi nchini Saudia Arabia imekikamata kikundi cha Wafilipino kilichokuwa kimewekwa kizuizini na maafisa wa upelelezi ambao walihamia nchini humo katika…
Mashabiki wamtishia kifo na kumuoneshea vitendo vya kibaguzi Zaha, wakidai alijiangusha katika mchezo wao dhidi ya Arsenal
Michezo
October 31, 2018 - 4:01 pm
Mashabiki wamtishia kifo na kumuoneshea vitendo vya kibaguzi Zaha, wakidai alijiangusha katika mchezo wao dhidi ya Arsenal
Mshambuliaji wa klabu ya Crystal Palace Wilfried Zaha anasema ametumiwa ujumbe wa ubaguzi wa rangi na vitisho baada yake kujishindia…
Ronaldo afunguka mazito “Lionel Messi na mimi ndio tunastahili kuwepo hapa tulipo”
Michezo
October 31, 2018 - 3:49 pm
Ronaldo afunguka mazito “Lionel Messi na mimi ndio tunastahili kuwepo hapa tulipo”
Mshambuliaji wa klabu ya Juventus na taifa la Ureno, Cristiano Ronaldo amefunguka mengi sana kuhusiana na maisha yake ya soka…
Imeelezwa Saudia Arabia imemtuma mwendesha mashtaka wao mkuu kwenda kukutana na maafisa wa ujasusi wa Uturuki kuongelea suala la Khashoggi
Habari
October 31, 2018 - 2:36 pm
Imeelezwa Saudia Arabia imemtuma mwendesha mashtaka wao mkuu kwenda kukutana na maafisa wa ujasusi wa Uturuki kuongelea suala la Khashoggi
Imeelezwa kuwa Mwendesha mashitaka mkuu katika taifa la Saudi Arabia jana usiku alikutana na maafisa wa shirika la ujasusi la…
Mkojo uliopelekwa Qatar wamponza mchezaji huyu wa Yanga,akutwa na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya
Michezo
October 31, 2018 - 2:07 pm
Mkojo uliopelekwa Qatar wamponza mchezaji huyu wa Yanga,akutwa na tuhuma za kutumia madawa ya kulevya
Kamati ya kuzuia na kupambana na dawa zisizoruhusiwa michezoni ya Kanda ya Tano Afrika (RADO) imetoa hukumu ya kumfungia mchezaji…
Hawa ndio vigogo wanne wa PL ambao Bernardo Silva anaamini watachuana vikali na Man City kwenye mbio za Ubingwa
Michezo
October 31, 2018 - 12:31 pm
Hawa ndio vigogo wanne wa PL ambao Bernardo Silva anaamini watachuana vikali na Man City kwenye mbio za Ubingwa
Kiungo wa klabu ya Mchester city na taifa la Ureno Bernardo Silva amefunguka na kuvitaja vilabu vikubwa vinne ambavyo vinaweza kuleta…
Hawa ndio viongozi 12 kutoka katika mataifa tofauti ya kiafrika waliokutana na Kansela wa Ujerumani Angela Markel mjini Berlin
Habari
October 31, 2018 - 9:00 am
Hawa ndio viongozi 12 kutoka katika mataifa tofauti ya kiafrika waliokutana na Kansela wa Ujerumani Angela Markel mjini Berlin
Kansela wa Ujerumani Angela Merkel ameahidi kuongeza hatua za serikali yake katika kusaidia sekta binafsi barani Afrika dhidi ya misukosuko…
Hii ndio sababu kubwa ya Trump kutoa zaidi ya wanajeshi 5200 kuwapeleka kwenye mpaka wa Marekani na Mexico
Habari
October 31, 2018 - 8:47 am
Hii ndio sababu kubwa ya Trump kutoa zaidi ya wanajeshi 5200 kuwapeleka kwenye mpaka wa Marekani na Mexico
Marekani imesema inawatuma wanajeshi 5,200 kusaidia kulinda mipaka kati ya nchi hiyo na Mexico, baada ya maelfu ya wahamiaji kutoka…
Ijue historia ya Vichai Srivaddhanaprabha aliyekuwa mmiliki wa klabu ya Leicester city kabla ya kukumbwa na ajali ya Helcopter akitoka uwanjani
Michezo
October 30, 2018 - 6:03 pm
Ijue historia ya Vichai Srivaddhanaprabha aliyekuwa mmiliki wa klabu ya Leicester city kabla ya kukumbwa na ajali ya Helcopter akitoka uwanjani
Vichai Srivaddhanaprabha ni Mfanyabiashara na bilionea aliyezaliwa juni 5 mwaka 1958, miaka 60 iliyopita katika jiji la Bangkok nchini Thailand…
Guardiola aweka wazi sababu za makocha kufukuzwa, ampa pole Julen Lopetegui baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid
Michezo
October 30, 2018 - 10:48 am
Guardiola aweka wazi sababu za makocha kufukuzwa, ampa pole Julen Lopetegui baada ya kufukuzwa kazi Real Madrid
Kocha wa klabu ya Manchester City Pep Guardiola amefunguka mengi sana kuhusiana na kazi ya ukocha kiujumla na kile kinachowafanya…
Hii ndio idadi ya watu inayokadiriwa kufikia hadi hivi sasa ya waliopoteza maisha katika ajali ya ndege Indonesia
Habari
October 30, 2018 - 8:54 am
Hii ndio idadi ya watu inayokadiriwa kufikia hadi hivi sasa ya waliopoteza maisha katika ajali ya ndege Indonesia
Maafisa wa uokozi wa Ufilipino wamesema kuna uwezekano kwamba abiria wote 189 pamoja na wafanyakazi wa ndege ya Indonesi ya…
Music Audio: Golden Dee – Nipe Subira
Muziki
October 29, 2018 - 6:49 pm
Music Audio: Golden Dee – Nipe Subira
Msanii wa Muziki wa bongo fleva Golden Dee ameachia wimbo wake mpya unaitwa “Nipe Subira”, Producer Bonga, Studio Beta Sound.…
Mtanzania mwanaharakati Rebeca Gyumi ashinda tuzo ya Umoja wa Mataifa
Habari
October 29, 2018 - 1:45 pm
Mtanzania mwanaharakati Rebeca Gyumi ashinda tuzo ya Umoja wa Mataifa
Mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake na watoto kutoka nchini Tanzania Rebeca Gyumi, pamoja na wenzake watatu wameshinda tuzo ya…
Zifahamu takwimu mbaya za Manchester City dhidi ya Tottenham kabla ya mchezo wa leo usiku
Michezo
October 29, 2018 - 12:28 pm
Zifahamu takwimu mbaya za Manchester City dhidi ya Tottenham kabla ya mchezo wa leo usiku
Katika muendelezo wa ligi kuu nchini Uingereza leo usiku kutakuwa na mtanange mmoja wa kukata na shoka ambapo Tottenham Hotspurs…
Simanzi imetawala katika mji wa Leicester baada ya kifo cha mmiliki wa klabu hiyo bilionea Vichai Srivaddhanaprabha matukio kwa picha
Habari
October 29, 2018 - 9:42 am
Simanzi imetawala katika mji wa Leicester baada ya kifo cha mmiliki wa klabu hiyo bilionea Vichai Srivaddhanaprabha matukio kwa picha
Bilionea mmiliki wa klabu ya Leicester City FC amethibitishwa kuwa miongoni mwa watu waliofariki katika ajali ya helikopta karibu na…