Aunt Ezekiel Afungua Pub
Kama ulikuwa huna habari msanii wa filamu nchini Tanzania Aunty Ezeckiel Gwantwa Jujuman amefungua PUB yake nzuri maeneo ya Biafra kinondoni.
Msanii huyo wa kike ambaye ana chati ya juu katika tasnia ya filamu bongo ameingia katika vitabu vya wajasiriamali wa sanaa baada ya kufungua Pub hiyo, Bongo5 inapenda kumpa pongezi kwa kitendo hicho cha busara.
Wadau mbalimbali walialikwa kuja kupata chakula na vinywaji kwa wingi.
Irene na Chopa nao walikuepo
Uwoya,Ino barchard,Fifi,The great pioneer na Maya kwa pamoja tukimuunga mkono msanii mwenzetu maeneo ya Biafra-kinondoni
Swahiba nae alikuepo
Mtumishi wa Mungu JB alikuepo katika kuiombea hiyo Pub
Adam Kuambiana akitoa neno
Haya ufunguzi ulifanyika hivi…Daudi ndie alifungua..
Keki ya pub ilikuwa hivi, sote tulikula
Mkurugenzi wa CREAM Pub Aunty Ezeckiel akimlisha keki CP
TID alifata
Nice Chande nae alikula kumpa sapoti rafike ye wa karibu
Swahiba baba akimung’unya keki kwa steps