Habari
Audio: Nchakalih, Hermy B na Miss E.Africa 2012 wakiichambua albam ya Jay-Z ‘MCHG’ kwenye The Switch, Times FM
Aliyekuwa mtangazaji wa Clouds FM, Reuben Ndege aka Nchakalih, producer wa B’Hits Music Group Hermes Tyrol Lyimo aka Hermy B na Miss East Africa 2012, Jocelyne Kimaro leo wameichambua kwa undani albam mpya ya Jay-Z ‘Magna Carta Holy Grail’ kwenye kipindi cha The Switch cha Times FM 100.5.
Wasikilize hapa.