Burudani

Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa kitandani akiwa na wasichana wawili mapacha

Kwa mujibu wa mtangazaji wa Hot 97, Peter Rosenberg, Amber Rose alimfumania Wiz Khalifa akiwa kitandani na wasichana wawili mapacha.

Amber-Rose-and-Wiz-Khalifa-2

Rosenberg ambaye yeye na mke wake ni watu wa karibu na Amber amesema wasichana hao ni mapacha wanaofanana, waitwao Jas na Ness.

927855_1471448176407840_1740701095_n
Jass na Ness

1170624_238472206318345_878824422_n

Wawili hao walionekana wakipiga picha na Wiz wiki mbili kabla ya siku hiyo.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents