Burudani

Alikiba na Jokate washuhudia mtanange wa Simba na Yanga pamoja

Alikiba na Jokate Mwegelo waligeuka kuwa kama kumbi kumbi weekend hii baada ya kuungana pamoja kushuhudia mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga kwenye uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam.

Ali Kiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa
Alikiba na Jokate wakitoka katika uwanja wa Taifa

Jokate ambaye anaonekana kuwa ni shabiki wa Yanga iliyoibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Simba alionekana mfalme wake Kiba akiwa amepigilia blausi nyeupe, jeans ya blue na kofia ya blue iliyoandikwa ‘King.’

Kupitia Instagram mrembo huyo alipost picha akiwa uwanjani na kuandika: TeamYanga.

Ali Kiba na Jokate

Jokate akiwa uwanja wa Taifa

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents