Burudani

Alikiba ambusu Diva mdomoni ‘He is a good Kisser’

Huenda mtangazaji wa Clouds FM, Diva akawa na kesi ya kujibu kwa mpenzi wake King Crazy GK kwa kilichotokea.

Diva na hitmaker wa Chekecha, Alikiba usiku wa jana waligusanisha lips zao kama sio kubadilisha mate kwenye busu la haja walilopeana.

KIba 2

Diva ameshare video ya tukio zima kwenye Instagram ambayo mwanzoni zinasikika sauti za mashabiki wakishangalia kwa kutaja jina lake kabla ya Alikiba kumsogelea na kumpiga busu.

KIba 1

Huenda mashabiki hao waliwashinikiza wawili hao wafanye hivyo. Hata hivyo Diva ameonesha kulipenda busu hilo na kumwelezea Kiba kama mtu anayebusu vyema.

“having Fun With @officialalikiba. Massive show… thank you guys for coming. kibah thanks for the kiss, sucha Good Kisser ‘ love you all. Thank yol for coming… but this kiss Baby is gon Kill Me lol #Jokking … but ey ‘ it was so much fun’ thank you Guys for coming … Happy People’ we killed it,” ameandika.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents