Burudani

Albamu ya Kendrick Lamar na J Cole bado ipo haijafutwa

Albamu ya pamoja kati ya Kendrick Lamar na J Cole ‘Joint’ ambayo imekuwa ikisubiriwa kwa muda mrefu imesemekana kuwa itachelewa.

mgid-ao-image-mtv

Hapo mwanzo taarifa zilisambaa kuwa albamu hiyo haitatoka tena lakini taarifa za ndani zinadai kuwa mipango hiyo ya kuiachia hiyo albamu bado ipo lakini itachelewa kutoka.

Golden Withers Music na Musidex Music zinadai kuwa Lamar amechukuwa mistari ya kwenye nyimbo zilizotoka mwaka 1975 ‘Don’t You Want to Say’ na ‘I Do This’ na kuweka kwenye baadhi ya nyimbo zilizopo kwenye albamu hiyo.

Lakini inasemekana kuwa albamu hiyo ipo tayari wanakamilisha mipango ya kuiachia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents