Burudani

Akothee aweka wazi ratiba ya ziara yake katika bara la Ulaya mwaka huu

Ukiambiwa utaje wasanii wa kike wa Kenya wanaofanya vizuri kwa sasa kwenye muziki, jina la Akothee hutaacha kulitaja.

Muimbaji huyo ambaye anafahamika zaidi kwa jina la Madam Boss ameamua mwaka huu kuutangaza muziki wake zaidi katika bara la Ulaya kwa kuamua kufanya ziara katika nchi kadhaa za bara hilo.

Ziara hiyo ya Akothee inatarajiwa kuanza mwezi April mwaka huu, na nchi ambazo anatarajia kuzitembelea katika ziara yake hiyo ni Switzerland, Australia, Sweden, Ujerumani na Italia.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents