Burudani

Akothee: Ana watoto watano lakini bado mbichi

Akothee ni msanii mwenye watoto watano lakini bado ameonekana kuwa mrembo huku akidaiwa kuwa na mimba nyingine kwa sasa.

Mtu

Muimbaji huyo kutoka nchini Kenya ameonekana kuanza kuwapiga bao wasanii wengine kutoka nchi hiyo kutokana na juhudi anazozifanya kwenye muziki wake huku akiwa tayari ameshafanya collabo na mastaa wawili wakubwa Afrika, Diamond na Mr Flavour.

chris-brown-ibiza-1

akothee

Aidha Akothee aka Madam Boss ni mmoja kati ya wasanii wanaomiliki mkwanja mrefu zaidi kwenye ukanda wa Afrika Mashariki kutokana na biashara zake anazofanya ikiwemo ya kilimo na usafirishaji.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents