Burudani
Ali kiba anyanyua nyota ya mdogo wake
mwanamuziki Alikiba amekuwa akimtumia mdogo wake Abdul kiba katika kumpokea mashairi ‘Back’ ili kuweza kumtambulisha zaidi mdogo wake kwenye muziki baada ya nyota yake kuwa juu . Mwanamuziki huyo amekuwa akienda sambasamba na mdogo wake katika kila tamasha, kama ilivyokuwa kwa Joh Makini na Niki wa pili.
Jana pia walikuwa sambamba kwenye tamasha la Maisha Club, wakati walipokuwa wakiwashindikiza furaha ya wanafunzi waliomaliza mtihani wa kidato cha nneĀ mwezi huu.
Tox akisubiri kupanda jukwaani
Mr India au Sulesh aliyetengeneza kitu Naenda kusema cha Aslay akiwa na Abdul Kiba… hawa ni maswahiba wa muda mrefu na wametoka mbali kwenye muziki….
Yeh!!! Walimaliza hivi kabla ya kuondoka