Airtel waandaa kupeleka watoto Manchester
Airtel Rising Stars, jana imezindua michuano ya kuwatafuta wachezaji sita ambao watajiunga katika na timu ya Manchester Academ, iliyopo Uingereza. Watoto kutoka amikoa mikoa minne ambayo waliunda timu nne, Mbeya Iringa Mwanza na Dar es salaam, jana walianza michuano hiyo kwaajili ya kufanikisha katika kutafuta masuper star hao.
Airtel siku zote imekuwa ikifufua vipaji vichana na kuonyesha mwanga kwa jamii kwamba wanania ya dhati kusaidia taifa katika michezo mbalimbali ikiwemo mpira. Michezo itachezwa ndani ya wiki moja yaani inategemewa kuisha tarehew25 mwezi huu, Hao ndiyo Airtel wanasema hamia sasa wewe jamaa, ndugu na hata mifugo yako…
Kipa akichukua mazoezi.
mchezaji wa Morogoro akichukua mazoezi
Wanchi wakiangalia mazoezi na michezo wakati wa uzinduzi.
Wasanii wa Tmk wakitoa burudani wakati wa uzinduzi wa michezo hiyo
Kama ilikuwa haitoshi, hebu angalia kiduku cha mtaani kutoka kwa watoto hawa
{hwdvs-player}id=1634|width=560|height=340{/hwdvs-player}
Dogo Aslay naye aliachia mojamoja…
{hwdvs-player}id=1635|width=560|height=340{/hwdvs-player}