BurudaniPicha

Afrima Awards: Diamond Platnumz aondoka na tuzo tatu (Picha/Video)

Diamond Platnumz ameibuka na ushindi wa nguvu kwenye tuzo za Afrima 2016 zilizotolewa Jumapili hii jijini Lagos, Nigeria. Muimbaji huyo ameshinda tuzo tatu, Song of The Year – Utanipenda, Best Artist/Duo/Song Of The Year Utanipenda na Best Male Artist in Eastern Africa.

img_2800
Diamond akishukuru baada ya kushinda tuzo ya tatu kwenye Afrima

Pamoja na ushindi huo, Diamond pia alitumbuiza wimbo alioimba na Papa Wemba, msanii aliyetunukiwa tuzo ya heshima.

Wasanii wengine waliotumbuiza ni pamoja na Patoranking, P-Square, Falz, Eddy Kenzo, Avril, Simi, Darey, Phyno, Seyi Shay na wengine.

Chini ni orodha ya washindi kwenye tuzo hizo pamoja na picha za ndani ya ukumbi na red carpet:

Artist of the Year
Wizkid

Song of The Year
Utanipenda – Diamond

Album of the Year
Ahmed Soultan

Revelation of the year
Falz

Video of the Year
Dogo Yaro – Vvip

Best African Collaboration

Eddy Kenzo ft Niniola – Mbilo Mbilo (Remix)

Best African Group

VVip

Best African Jazz

Jimmy Dludlu

Best Artist/Duo/Song Of The Year
Diamond – Utanipenda

Best Artist/Duo/Group in African Rock
Mvula

Best Artist/Duo/Group African Ragga & Dancehall
Patoranking

Best Artist/Duo/Group African RnB
Henok and Mehari Brothers

Best Artist/Duo/Group African Hiphop
Stanley Enow

Favourites Award
Phyno

Song writer of the year

Unique Muziki – Uganda

Most Promising Artiste
AmineAub

Artiste/Dou/GroupBand in African Contemporary

Flavour

Best female Artiste in Inspirational music
Naomi Achu

Best Male Artiste Western Africa
Flavour

Best female artiste Western Africa
Aramide

Best male artiste Northern Africa

Dj Van

Best male artiste S/Africa

BlackCoffee

Best female artiste S/Africa

Bruna Tatiana

Best Male Artiste Eastern Africa
Diamond Platnumz

Best Female Eastern Africa

Cindy Sanyu

img_2636

img_2638

img_2640

img_2642

img_2643

img_2646

img_2649

img_2651

img_2654

img_2700

img_2710

img_2718

img_2724
Mwanamuziki mkongwe wa Cameron, Manu Dibango alitunukiwa pia tuzo ya heshima

img_2745

img_2756
Diamond na meneja wake, Sallam

img_2757

img_2759

img_2760
Katikati ni Cindy Sanyu na Unique Music kutoka Uganda ambao wote walishinda tuzo
img_2763
Mwanamuziki wa Nigeria, Seyi Shay
img_2764
Kundi la Ghana, VVIP
img_2770
Eddy Kenzo wa Uganda akishukuru baada ya kushinda tuzo
img_2777
Rapper wa Nigeria, Falz naye aliibuka mshindi

img_2778

img_2781
Falz ni miongoni mwa wasanii walioshangiliwa sana wakati wa kutumbuiza

 

img_2785
Ahmed Soultan alishinda album ya mwaka. Alikuwa MC pia kwenye show hiyo
img_2792
Patoranking
img_2817
Peter Okoye wa P-Square akitumbuiza na mwenzake kwenye show ya kufungia sherehe za tuzo hizo

 

 

 

 

 

img_2823
Paul Okoye

img_2824

img_2825

img_2826

img_2827

img_2828

 

 

img_2561
Bonang Matheba akihojiwa kwenye red carpet
img_2562
Bonang ambaye ni girlfriend wa AKA, alikuwa mmoja wa washereheshaji wa tuzo za Afrima 2016

 

img_2578
Victora Kimani wa Kenya

img_2588

img_2589

img_2590

img_2593

img_2604
Avril kutoka Kenya

img_2607

img_2608

img_2614

img_2615

 

img_2626

img_2628

img_2630

img_2631

img_2635

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents