Burudani

Afrika yamkubali Dj Fetty

Jana Dj Fetty wa Tanzania ameithibitishia Afrika kuwa muziki anaujua, baada ya kuangusha ngoma za ukweli kwenye live show ya Big Brother.

Akiwa Dj wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kuwahi kupata heshima hiyo ya kuburudisha mamilioni ya watazamaji wa ukumbuni kwenye nyumba ya Big Brother pamoja na wale wanaoangalia kupitia TV, Fetty aliyekuwa anajiamini vya kutosha amepokea pongezi kutoka kwa wapenzi wa BBA barani kote.

Katika ukurasa rasmi wa Big Brother Afrika jana kumewekwa status iliyosema, “Our first lady DJ on the Big Brother stage…and she is trailblazing!” na kufuatiwa na comments nyingi za kumsifia kwa kazi nzuri:

Rhodah Manasseh Zablon: i admire dat tanzanian lady dj fetty ..keep it up lady,u rock….tiririririka na ma mix yaku2sha.

Fortunate Nwana Ramalisa: Wow xe is doing it lyk crazy man!!!i lke dis gal xe is cool nd xe is also gud on wat xe does …..wat a nyt #bigbrother stargame#live show##dj fettyyyyyyyyyy

Oluwashayo Oyedele: I love her die, i swear

Tshepang Fats Thiba: Dee Jay Fetty you know your episode girl, keep on doing good job!!

Cornelius Mubanga: Dj Fetty u r hot am in lov wit u en yur selection..pliz dial me

Palesa Ashia: OMG……dj fety u made ma 9t yesta98 tjo u r da bestes female i’v eva heard djyng .big kiss on da cheek 4 dt gud music!

bongo5: GO FETTY GO FETTY GO FETTY!

Bila shaka huo ni mwanzo wa Dj Fetty kuanza kutumika kwenye matamasha makubwa barani Afrika hasa kama akiamua kuichukulia fani hiyo seriously.

Related Articles

Back to top button

Adblock Detected

Please don't block our ads, we rely on these ads to serve you with credible contents