written on 25 January 2012, 13.12
Mwanamuziki wa muda mrefu ambaye alikuwa kimya kutokana na masuala ya kielimu Rehema Tajiri anatarajia kuibuka upya kwenye game la muziki, baada ya ...
written on 25 January 2012, 13.07
Mkali wa filamu za hisia hasa unapofika katika suala la kubembeleza Haji Adamu baba Haji, ameweka wazi kile ambapo alikuwa amekificha kwa muda mrefu ...
written on 23 January 2012, 22.55
Chris Brown na mpenzi wake wa zamani Rihanna,wameonekana wakitoka kwenye club baada ya
...
written on 23 January 2012, 17.23
Wasanii wa filamu jana walikutana pale New Maisha Club katika kuchukua tuzo zao za tamasha Dogo la Filamu Zanzibar Mini ZIFF lililofanyika pale jana, ...
written on 23 January 2012, 17.18
Tamasha la Mini ZIFF Red Capert jana lilifanyika kwa mbwembwe zote kwa kutoa wasanii ambao walifanya vizuri katika mwaka uliopita jambo ambalo limeonyesha ...
written on 23 January 2012, 16.48
Yule mkali wa mauono stejini, mkali wa kuimba na makali wa kutengeneza beat, kutoka Sharobaro Record Bob Junior 'Mr Chocorate Frevour' amesema kuanzia ...
written on 23 January 2012, 15.03
Siku ya jana Kampuni ya IPP Media wamiliki wa magazeti ya Alasili, Nipashe na mengine huku ikimiliki pia stesheni za radio kama Radio One na Ea Africa ...
written on 21 January 2012, 15.23
Kundi la muziki wa kizazi kipya la Tmk wanaume famili wakiongozwa na Chege na Temba, wakifanya show kama wasanii wa kwanza katika uzinduzi wa Zuku Tv, ...
written on 21 January 2012, 14.46
Wasanii mbalimbali jana walikusanyika katika uzinduzi wa stesheni ya tv ya Zuku Tv katika Hoteli ya Golden Tulip, sherehe hiyo iliudhuriwa na wajumbe ...
written on 20 January 2012, 23.13
Star wa Basketball wa nchini Marekani anayetokea timu ya L.A Lakers, Kobe Bryant,
...

























clouds fm ur rocking here in msanzi pretoria