Lile kundi maaruku katika kituo cha luninga cha EATV la Ze Comedy ambalo limekuwa likiongoza katika kuchana mbavu za watu hapa nchini, hivi sasa halipo tena pamoja na kituo hicho baada ya kumaliza mkataba wao Read more...
Jana asubuhi, jengo la ghorofa saba lilipo mtaa wa Mahiwa na Livingstone Kariakoo Dar, limeshika moto na hakuna jitihata za kutosha za kuliokoa kutokana na kutokuwepo kwa vifaa vya uhakika vya kuzimia moto Read more...
WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa albamu ya kwanza ya bendi ya Akudo Impact ‘Wazee wa masauti’ utakaofanyika Mei 16, Ukumbi wa Diamond Jubilee Read more...
Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), kupitia bia ya Kilimanjaro jana ilitangaza kudhamini tuzo za muziki za ‘Kill Music Awards’ kwa mwaka huu, huku kipengele cha fainali ya kusuniaka washindi wa kanda kikifutwa Read more...
Serikali imesema itamsaka Gavana wa zamani wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dk. Daudi Balali mahali popote alipo muda utakapowadia
Chenge: Nimezushiwa MBUNGE wa Bariadi Magharibi aliyejiuzulu uwaziri hivi karibuni kwa kashfa ya kukutwa na fedha zinazohusishwa na ufisadi, Andrew Chenge amewataka wananchi wa jimbo lake kuendelea kumwamini kwa kuwa yeye ni mtu safi
Trafiki akamatwa na `rushwa` ya 3,000/- Askari polisi wa kikosi cha Usalama barabarani, maarufu kama trafiki, Sauda Kaijage (39), ameachishwa kazi kutokana na kutuhumiwa kumuomba dereva wa daladala jijini Dar es Salaam, rushwa ya sh. 3,000
Mmiliki Tabata Dampo atimuliwa kwa mawe WAKATI wakazi wa Tabata Dampo, Ilala Dar es Salaam leo wanatakiwa kuachia eneo hilo, jana hali ilikuwa tete baada ya anayedai kumiliki eneo hilo kisheria, Kampuni ya Allied Cargo Freighters Limited kutimuliwa kwa mawe